HILI NI SHIRIKA MAARUFU LA "DINI" LILILOKUBALI USHOGA
WWW.PALLANGYO.BLOGSPOT.COM
WORLD Vision, wamesisitiza kuwa wanafanya hivyo ili kulinda WORLD Vision isigawanyike na pia kutimiza malengo yao wa upendo na kusaidi masikini kwa jina la bwana yesu, hii ni kwa mujibu wa Rais wa shirika hilo bwana Richard Stearns.
SWALI NI JE MASHIRIKA YA DINI KAMA HAYA KWANINI WANARUHUSU USHOGA???