DI MARIA RASMI MANCHESTER UNITED


DI MARIA RASMI MANCHESTER UNITED
Manchester United wamemsajili winga wa Real Madrid Angel Di Maria kwa kitita cha pauni milioni 59.7, ambayo ni rekodi ya uhamisho Uingereza.
Winga huyo kutoka Argentina, amefanya vipimo vya afya siku ya Jumanne asubuhi na kusaini mkataba wa miaka mitano.
Di Maria huenda akacheza mechi yake ya kwanza siku ya Jumamosi dhidi ya Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. 
Ada hiyo ya uhamisho inazidi ada ya pauni milioni 50 iliyotolewa na Chelsea kumsajili Fernando Torres kutoka Liverpool mwaka 2011. 
Manchester United wamemsajili winga wa Real Madrid Angel Di Maria kwa kitita cha pauni milioni 59.7, ambayo ni rekodi ya uhamisho Uingereza.

Winga huyo kutoka Argentina, amefanya vipimo vya afya siku ya Jumanne asubuhi na kusaini mkataba wa miaka mitano.
Di Maria huenda akacheza mechi yake ya kwanza siku ya Jumamosi dhidi ya Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.
Ada hiyo ya uhamisho inazidi ada ya pauni milioni 50 iliyotolewa na Chelsea kumsajili Fernando Torres kutoka Liverpool mwaka 2011.

Popular Posts