BURUNDI YACHUNGUZA MIILI ILIYOPATIKANA ZIWANI


Photo: BURUNDI YACHUNGUZA MIILI ILIYOPATIKANA ZIWANI
Mamlaka kaskazini mwa Burundi zimeanzisha uchunguzi baada ya mifuko yenye miili ya binaadam kupatikana ikielea katika ziwa Rweru lililopo kwenye mpaka na Rwanda. Wavuvi katika eneo hilo wamesema miili ya watu wasiofahamika imekuwa ikionekana katika ziwa hilo katika wiki za hivi karibuni. Haifahamiki watu hao walikufa katika mazingira gani. Polisi nchini Rwanda wametoa taarifa ikikanusha kuwa miili hiyo ni ya raia wake waliouawa na kutupwa ziwani. 
Mamlaka kaskazini mwa Burundi zimeanzisha uchunguzi baada ya mifuko yenye miili ya binaadam kupatikana ikielea katika ziwa Rweru lililopo kwenye mpaka na Rwanda. Wavuvi katika eneo hilo wamesema miili ya watu wasiofahamika imekuwa ikionekana katika ziwa hilo katika wiki za hivi karibuni. Haifahamiki watu hao walikufa katika mazingira gani. Polisi nchini Rwanda wametoa taarifa ikikanusha kuwa miili hiyo ni ya raia wake waliouawa na kutupwa ziwani.

Popular Posts