YEMI ALADE, JOSE CHAMELEONE NDANI YA BONGO
Chameleone akitoka uwanja wa ndege kuelekea kwenye gari.
Akizungumza na mtandao huu muda mfupi uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K. Nyerere, Chameleone alisema kuwa amekuja Bongo kuwapagawisha watu kiburudani hivyo mashabiki wake wafike kuona vitu vyake vipya.
CHANZO :GLOBAL PUBLISHERS
