RATIBA/MATOKEO LIGI KUU VODACOM: MABINGWA AZAM FC WAANZA KIDEDEA, YANGA HOI MORO!

Septemba 20
Azam FC 3 Polisi Moro 1
Mtibwa Sugar 2 Yanga 0
Stand United v Ndanda FC
Mgambo JKT v Kagera Sugar
Ruvu Shooting v Tanzania Prisons ]
Mbeya City v JKT Ruvu
LIGI KUU VODACOM, VPL, Msimu wa 2014/15 imeanza rasmi hii Leo na Mabingwa Azam FC kuanza kwa ushindi wa Bao 3-1 dhidi ya Polisi ya Morogoro huko Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam wakati Yanga wakisulubiwa 2-0 na Mtibwa Sugar huko Jamhuri, Morogoro.
Bao za Azam FC zilifungwa na Didier Kavumbagu, Bao 2, na Aggrey Moses na Bao pekee la Polisi lilifungwa na Bakari.
Huko Morogoro, Bao za Mtibwa Sugar zilipigwa na Mussa Mgosi, Dakika ya 15, na Ame Ali, Dakika ya 82.
Jumapili, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam itakuwepo Mechi ya ‘Wapwa’ wakati Simba itakapocheza na Coastal Union.
LIGI KUU VODACOM
RATIBA
Septemba 21
Simba v Coastal Union [Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam]
Septemba 27
Simba v Polisi Moro [Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam]
Mtibwa Sugar v Ndanda FC [Manungu, Morogoro]
Azam FC v Ruvu Shooting [Azam Complex, Dar es Salaam]
Mbeya City v Coastal Union [Sokoine, Mbeya]
Mgambo JKT v Stand United [Mkwakwani, Tanga]
Septemba 28
JKT Ruvu v Kagera Sugar [Azam Complex, Dar es Salaam]
Yanga v Prisons [Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam]
